Advertisements

Tuesday, October 14, 2014

MSIBA

MSIBA
Familia ya Bandawe ya Newark Delaware inasikitika kutangaza kifo cha baba mzazi wa Bi.Vicky Bandawe Mzee Jonas Soka kilichotokea asubuhi ya kuamkia leo huko Arusha baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Msiba upo nyumbani kwa wafiwa 719 6th St Newark Delaware 19711.
Kama desturi yetu tunaombwa tuchukue nafasi hii kuwapa pole na faraja wafiwa Bw. na Bibi Bandawe katika kipindi hiki kigumu.. Mazishi yanatarajiwa kufanyika huko Kombo Moshi Jumamosi Oktoba 18,2014.
Kwa taarifa zaidi unaweza kuwasiliana na :
Immanuel Bandawe 302-803-9487.
Vicky Bandawe 302-256-4516.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe. AMEN.

No comments: