(Ufufuo na Uzima)
(Grace gwajima ni mke
wa Josephat Gwajima ambaye ni askofu na mchungaji kiongozi wa kanisa)
Kutakuwa na maombi kwa
watu wenye mahitaji mbali mbali.
Muda: Saa 10 jioni mpaka saa 1 usiku.
Jumamosi
, 1st November1 , 2014
Mahala: Hampton Inn
9670
Baltimore Ave, College Park. Maryland.
Pia kutakuwa na
viburudisho baada ya huduma.
Wote mnakaribishwa.
Kwa maelezo zaidi piga
240 898 8520
No comments:
Post a Comment