Makonda akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) huku akionyesha moja ya magazeti yaliyoandika vurugu za jana.
Waandishi wa habari wakisikiliza taarifa ya Makonda (hayupo pichani).
(Patrick Bozohera na Gabriel Ng’osha/GPL)
KATIBU Mwenezi Idara ya Hamasa na Chipukizi ya UVCCM, Paul Makonda, amekana kuhusika katika vurugu zilizotokea jana katika mdahalo wa Katiba Iliyopendekezwa ambao ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere chini ya Mwenyekiti wake Joseph Butiku.
Hayo ameyasema leo katika hoteli ya Protea, Osterbay, jijini Dar es Salaam alipokutana na waandishi wa habari.
Mkutano huo ulikumbwa na vurugu wakati aliyekuwa mwenyekiti wa kuratibu katiba mpya, Jaji Joseph Warioba, alipokuwa akiwasilisha mada yake, katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.
Hayo ameyasema leo katika hoteli ya Protea, Osterbay, jijini Dar es Salaam alipokutana na waandishi wa habari.
Mkutano huo ulikumbwa na vurugu wakati aliyekuwa mwenyekiti wa kuratibu katiba mpya, Jaji Joseph Warioba, alipokuwa akiwasilisha mada yake, katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.
3 comments:
Eeeed makonda ulaaniwe.
kila kitu kinaonekana live unabwabwaja nini hapo, akawadanganye wazazi wake makonda sio sis watanzania wa leo
Kitendo walichomfanyia mzee warioba ni cha kusikitisha ,wahusika wachukuliwe hatua za kisheria na walaaniwe,
Post a Comment