ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, December 3, 2014

BILIONEA NIGERIA AMZIKA MAMA YAKE NDANI YA HUMMER

Bilionea Nigeria aliyeiwekea marembo gari la Humeer yenye thamani ya dola 1,000 na kumzika nayo mama yake katika mji wa Enugu nchini Nigeria.
Gari la Hummer lililobeba mwili wa marehemu likiingizwa kaburini

Bilionea akimzika mama yake ndani ya gari la Hummer nchini Nigeria.

2 comments:

Anonymous said...

Uzembe mtupu waafrika siku zote tutabaki kuwa wamwisho kwa kukosa fikira

Anonymous said...

Pole kwa kupewa Mali na kukosa akili za kutumia Mali hizo