Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akimjulia hali leo Askofu Mkuu Katoliki jimbo Kuu la Tabora Paul Ruzoka katika hospitali ya TMJ alikokwenda kufanyiwa vipimo kufuatia ajali aliyoipata Igunga Mkoani Tabora. Mwenye shati jeupe ni Askofu Josephat Gwajima.

1 comment:
jamaa EL kwa kweli anaonekana anaumwa sana si mchezo,Uraisi atauweza
Post a Comment