Hii inanikumbusha hata mimi nilivyokuwa ninaandaa kazi zangu za sanaa wakati nafundisha Chuo cha Uhazili Tabora nilimtumia mwanangu Kenny (Hery) kuigiza nae na kucheza nae ili kumuelekeza mkondo uigizaji. Na hata Natasha alifanya hivyo kwa mwanae Monalisa, na wengineo wengi, kumbe ni jambo zuri kwa wazazi kufanya hivyo kwa watoto wao kwa fani mbalimbali, ili kuwapa msingi bora wa kazi zao katika maisha yao.
Mimi ninakukubali sana kimuziki na kimaadili na upendo na heshima unayompa mama yako na jamii nzima. Na hii ngololo, ngololo, ngoololooo hii kiboko hata sisi wazazi wako hii tunaisakata kama kazi! kama unavyoona hata jikoni ngololo inakubali sana, halafu inafanana kidogo na ngoma ya kwetu ya wayao inaitwa nsobe, hiyo nayo huchezwa zaidi na vijana.
Keep up young boy from Tanzania! Home , sweet home Tanzania.
Mama Bishanga/ Mrs Marolen
Ohio/ USA
Mimi ninakukubali sana kimuziki na kimaadili na upendo na heshima unayompa mama yako na jamii nzima. Na hii ngololo, ngololo, ngoololooo hii kiboko hata sisi wazazi wako hii tunaisakata kama kazi! kama unavyoona hata jikoni ngololo inakubali sana, halafu inafanana kidogo na ngoma ya kwetu ya wayao inaitwa nsobe, hiyo nayo huchezwa zaidi na vijana.
Keep up young boy from Tanzania! Home , sweet home Tanzania.
Mama Bishanga/ Mrs Marolen
Ohio/ USA
No comments:
Post a Comment