
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia vijana wapatao 500 wa Kituo cha Vijana ( Tanzania Youth Icon) cha Kuwaendeleza na Kuwawezesha katika masuala mbali mbali kama Elimu, Kujiajiri na Michezo
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana (katikati)akijaribu kutengeneza mapambo yatokanayo na karatasi kwa msaada wa mwalimu Abdala Suleiman (kushoto) wa Kituo cha Vijana ( Tanzania Youth Icon) cha Kuwaendeleza na Kuwawezesha katika masuala mbali mbali kama Elimu, Kujiajiri na Michezo kushoto ni Mbunge wa jimbo la Kikwajuni mheshimiwa Hamad Masauni Yussuf.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishirikiana na viongozi wa CCM na wananchi kutandaza bomba la maji safi na salama katika eneo la Shehia ya Kilimani wilaya ya Mjini Zanzibar.
Katibu Mkuu wa CCM akishiriki kupika na vijana wa Kituo cha Vijana ( Tanzania Youth Icon) cha Kuwaendeleza na Kuwawezesha katika masuala mbali mbali kama Elimu, Kujiajiri na Michezo kilichopo Muembe Madema Zanzibar.
Katibu Mkuu Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kwenye maeneo ya Mikunguni jimbo la Kwahani ambapo alizindua mradi wa maji.




No comments:
Post a Comment