Advertisements

Saturday, January 17, 2015

KINANA AWATAKA WANA CCM KUSHIKAMA KUHAKIKISHA CHAMA KINABAKI IMARA


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wana CCM wa Tawi la Kijito Upele jimbo la Fuoni.
  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wana CCM wa tawi la Tungujani.
 
 Wana CCM wa Jimbo la Kiembesamaki wakionyesha ujumbe wa kuunga mkono Katiba iliyopendekezwa.

 Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM (Zanzibar) Shaka Hamdu Shaka akihutubia wakazi wa Jimbo la Dimani kwenye uwanja wa Magereza Tomondo.

 Balozi Ali Karume akihutubia wakazi wa jimbo la Dimani ambapo aliwaambia Katiba iliyopendekezwa ni Katiba bora na kuwataka Wazanzibar kuisoma na kuielewa vizuri.


 Shamsi Vuai Nahodha akiwahutubia wananchi waliojitokeza kwa wingi kwenye uwanja wa Magereza Tomondo kuja kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.

 Katibu wa NEC Itikadi Na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa wilaya ya Dimani mkoa wa Magharibi ambapo aliwaeleza hesabu na sayansi ya kisiasa imewamaliza wapinzani hivyo CCM itashinda uchaguzi ujao.
 Huu ni mzuka wa mwana CCM kwenye mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana uliofanyika Tomondo, Dimani, Zanzibar.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Zanzibar, Dkt. Mwinyi Haji Makame akihutubia kwenye mkutano huo ambapo alisema muda umefika wa kurudisha majimbo yote Zanzibar yaliyochukuliwa na wapinzani.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi kwenye viwanja vya magereza Tomondo ambapo aliwaambia CCM ya sasa inazingatia uadilifu na maadili.

 Mamia ya watu wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM kwenye viwanja vya Magereza ,Tomondo wilaya ya Dimani mkoa wa Magharibi Zanzibar.

No comments: