Wakazi wa Kata ya Luhungo Manispaa ya Morogoro waliojitokeza Kumsikiliza Mbunge wao Mh Abood aliowatembelea Kusikiliza Kero zao Ambapo wakazi hao walilamikia Utendaji Mbovu wa Mtendaji wa Kata hiyo Mzee Makame Kai aliyefuja Fedha za Miradi ya Maendeleo Pamoja na Kuuza pembejeo za wakulima.
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Ujenzi wa Kivuko hicho ambapo Mpaka ujenzi utakapokamilika Utagarimu jumla ya Shilingi Million 6.
No comments:
Post a Comment