Advertisements

Saturday, January 31, 2015

MWALIMU WA KARATE NA YOGA SENSEI RUMADHA FUNDI KATIKA WARM UP !

Mwalimu wa michezo ya Karate na Yoga anayetambuliwa na shirikisho la kimataifa la michezo hiyo mtanzania Sensei Rumadha Fundi mwenye Black Belt na Dan 6 toka Tanzania Karate Federation( TKF), na Dan 3 toka Okinawa Goju Ryu,Japani,Sensei Rumadha Fundi ambaye makao yake yapo kule Auston,Marekani akiwa anaupasha moto mwili (warm up ) katika mazoezi yajulikanayo kama "Double Shotei Tsuki" practice.
(onyo tafadhali usijaribu kuiga au kufindisha maozezi haya mtaani au popote bila ya kuwa na utaalamu)

No comments: