ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, February 28, 2015

KATIBA PENDEKEZWA YAANZA KAIWA PEMBA

BAADHI ya maboksi yenye katiba iliyopendekezwa ambayo Wilaya ya Chake Chake imepatiwa katiba 14925, ambazo zinataka kugaiwa kwa wananchi waliomo ndani ya wilaya hiyo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Wilaya Ya Chake Chake Pemba, Mhe:Hanuna Ibrahim Massoud, akizungumza na wananchi na Wakuu wa taasisi mbali mbali za Serikali nje ya ofisi yake, kabla ya kuwakabidhi katiba iliyopendekezwa kwa wanancha na wakuu hao.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Pemba Mhe:Hanuna Ibrahim Massoud, akimkabidhi katiba 100, Afisa Mdhamini Wizara ya Miundombinu na Mwasiliano Pemba Mhe:Hamad Ahmed Baucha, hafla hiyo iliyofanyika mjini Chake Chake.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Pemba, Mhe:Hanuna Ibrahim Massoud akimkabidhi katiba 50, mkuu wa kambi ya JKU Pemba Kepten Asaa Kombo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Pemba, Mhe:Hanuna Ibrahim Massoud akimkabidhi katiba 50 mwakilishi kutoka KVZ ambaye jina lake halikupatikana, halfa ya makabidhiano hayo yaliyofanyika Mjini Chake Chake.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments: