Wanafunzi wa Chuo cha IFM jijini Dar es Salaam wametangaza azma yao ya kumuunga mkono Edward Lowassa iwapo ataamua kugombea nafasi ya Rais katika Uchaguzi Mkuu 2015.
Je wewe unadhani ni wakati sahihi kuonyesha utampigia kura nani ikiwa hujapata nafasi kuwasikiliza wagombea wana sera gani?

No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake