KWA SISI TULIEKULIA MITAA YA KATI HIZI ZIMETUKUTA SANA
Polisi wanavyoamua kusanyakusanya mitaani nakukuambia mikono kichwani na mashati kufungwa safari kituoni kuingia bure kutoka mfuko wako bongo hiyo kwa sisi wakitaa hizi zimetukumba sana tu jikumbushe na wewe.
1 comment:
Anonymous
said...
afadhali ya zamani kuliko siku hizi siku hizi watu wanapigwa kwa mabomu,enzi za zamani watanzania mabomu huwa hata hatujui ni nini tulikuwa hatuna utamaduni huu wakupigwa na mabomu tulikuwa tunaangalia kwenye movies,chox,empire cinema,avalon etc tena kwenye movie za kidosi sana sana.
sasa tunaambiwa na wapigwe na ndo maana tunapigwa kweli.
bora ya zamani kuliko ya sasa. ukijlia kaugari chako unakaa barazani poe leo hii kila aina ya ufisadi unapata ukikaa kibarazani mwisho wa siku unakuwa AUTY SABRI, TEJA, AU JAMBAZI SUBU KWA UGUMU WA MAISHA.
1 comment:
afadhali ya zamani kuliko siku hizi siku hizi watu wanapigwa kwa mabomu,enzi za zamani watanzania mabomu huwa hata hatujui ni nini tulikuwa hatuna utamaduni huu wakupigwa na mabomu tulikuwa tunaangalia kwenye movies,chox,empire cinema,avalon etc tena kwenye movie za kidosi sana sana.
sasa tunaambiwa na wapigwe na ndo maana tunapigwa kweli.
bora ya zamani kuliko ya sasa. ukijlia kaugari chako unakaa barazani poe leo hii kila aina ya ufisadi unapata ukikaa kibarazani mwisho wa siku unakuwa AUTY SABRI, TEJA, AU JAMBAZI SUBU KWA UGUMU WA MAISHA.
Post a Comment