Advertisements

Sunday, February 1, 2015

MSIBA DMV NA TANZANIA

Familia ya Mr. & Mrs. Deo Mosha (Mamertha na Deo) na Henry Kente, wanasikitika kutangaza kifo cha Baba mzazi wa Henry na Mamertha, Mr. Wilbard W. Kente, uliotokea leo, Jumapili tarehe 1 February 2015 huko nyumbani Dar-es-Salaam, Tanzania. Msiba upo nyumbani kwa Mr. & Mrs. Mosha, address
4402 Hatties Progress Dr.
Bowie, MD 20720
Kama ilivyo mila na desturi yetu karibuni tujumuike kutoa mkono wa pole na kuwafariji wafiwa.
Kwa wale walioko mbali ambao wangependa kutoa rambi rambi , wanaweza kutumia account ifuatayo
Henry Kente
Bank of America
Routing # 052001633
Account # 446030721450

Kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana na
Deo Mosha: 240-441-8433
Vitalis Gunda: 240-383-6950
Tumaini Katule: 301-433-3400
Mrs. Gloria Semiti: 301-325-1843

Mungu ampumzishe vyema Baba kwenye makao yake ya milele. Amen.

No comments: