ANGALIA LIVE NEWS

Friday, February 27, 2015

NDEGE KUBWA ZAANZA KUTUA UWANJA WA KIMATAIFA WA ABEID AMAN KARUME ZANZIBAR

Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, ikitowa huduma za ndege kubwa baada ya kumalizika kwa ujenzi wake wa maegesho ya ndege na barabara ya kuondokea, hivi karibuni kama inavyoonekana picha ndege mbili kubwa za Ethiopian airline na Oman Air zikiwa katika uwanja huo kwa wakati mmoja zikitowa huduma ya kusafirisha abiria kupitia uwanja huo' Zanzi News

No comments: