Advertisements

Monday, March 30, 2015

HAKIKA ABDU BONGE ALIKUWA KIPENZI CHA WATU MAJONZI NA HUZUNI VYA TAWALA TIP TOP

Diamond akiwa na manager wake wakiwa kwenye msiba wa kaka yake babu Tale
Msanii wa Bongo Movie NIVA
akiwa na Meneja Masoko AccessBank Mr Muganyizi katika msiba 
Msanii wa hip hop kutoka tamaduni muziki Sterio akiwa na Jabir mtangazaji wa TimesFm
Koba mwanamuziki kutoka morogoro akiwa msibani
Mirrow kutoka EndlessFame akiwa na Petman Wakuache 
Jordan na Ali Runa 
 
Master J pamoja na Diamond Platnumz
Pnc akiwa na Best naso 
Mr Muganyizi pamoja na wasanii Koba ,Jabir wa Times FM
Shetta ,Diamond, na Hakim 5
Diamond Platnumz akiwasili katika msiba Tip Top Manzese
Shetta akiingia msibani pamoja na Mwarabu,Team WCB
Mkubwa Fella akijadili jambo
Djku akiwa anazungumza machache juu ya kifo cha Abdu bonge na Sterio,Mr Muganyizi Afisa Masoko AccessBank.
Kasimu Mganga moja ya wasanii wa kundi la Tip Top conection



Sterio akikabidhiwa daftari la rambirambi na Mkubwa Fella
Master J Mkurugenzi wa MJ REC
Babu Tale mdogo wa marehemu

No comments: