ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, March 7, 2015

LIPUMBA, NCHEMBA NA MBATIA WAKUTANA KWENYE UZINDUZI WA AZAM TV

Mwenyekiti wa CUF Taifa Prof. Ibrahim Lipumba (kushoto), Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi taifa, James Mbatia (katikati) na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba (kulia) wakicheka kwa pamoja jana katika uzinduzi wa Kituo cha Runinga cha Azam kilichopo maeneo ya Tabata jijini Dar es Salaam.
Wakiteta jambo.

(PICHA GPL NA MTANDAO)

1 comment:

Anonymous said...

Lipumba, Mbatia na Nchemba wao wakikutana wanacheka na kupeana tano! Sisi wafuasi tunapigana na kutoana damu.

Viongozi wetu watusaidie tujenge uungwana wa kisiasa kama walionao hata kama tunatofautiana kiitikadi. Huko ndio kukomaa kisiasa. Siasa sio kwenda Ikulu tu.