Paka hana kosa, mchukie anaye mtumia, shetani huweza kuingia mwilini mwa bosi wako, jirani yako, ndugu yako mkakorofishana mkachukiana, usimchukie bali muombee sio yeye. Ukijigeuza ukawa paka kwangu ntafurahi ule panya milele na hautarudi tena kuwa mtu Mungu anahitaji kumuomba tu. Sali kabla ya kulala, JAY PILI NJEMA, KWARESMA NJEMA. |
1 comment:
hii pich ya paka ina tisha kishenzi.duu mmeshaanza mambo ya sangoma nyinyi vijimambo team.balaa kweli
Post a Comment