Tuesday, March 24, 2015

SHILINGI YA TANZANIA NDIYO HIYO CHALI

Shilingi ya Tanzania yashuka thamani

Thamani ya shilingi ya Tanzania imeelezwa kuanguka kwa kiasi cha asilimia 7.9, hali ambayo imeelezwa kuchangiwa na sababu za kiuchumi za ndani na nje ya nchi.


Halima Nyanza anaangazia sababu zilizosababisha kuporomoka kwa shilingi ya Tanzania.

No comments: