Gwajima ni mwisho,
Jamaaa huyu mie sielewe huwa mkweli au vipi
Kama kiongozi wa dini anaweza thubutu kudanganya Umma kwa namna hii na umma ukamwamini basi tuna safari ndefu ya kumkomboa mTanzania kifikra..
upotovu mtupu huyu jamaa. jamani!!!
Wow, kweli wajinga ndio waliwao. Nalia kwa Nchi yangu ya watu wazuri na wema lakini rahisi kudanganywa kupitia dini bila ya kudadisi. Hiko kazi kweli.Gwajima ataendelea kujivulia kirahisi.
sishangai kwa nn Tanzania na Africa kwa ujumla haziendelei.. ni haya mambo ya ujinga ujinga.. sasa ndo naelewa pia kwa nn vita ya kupinga kuuwawa albino ni kubwa.
Post a Comment
6 comments:
Gwajima ni mwisho,
Jamaaa huyu mie sielewe huwa mkweli au vipi
Kama kiongozi wa dini anaweza thubutu kudanganya Umma kwa namna hii na umma ukamwamini basi tuna safari ndefu ya kumkomboa mTanzania kifikra..
upotovu mtupu huyu jamaa. jamani!!!
Wow, kweli wajinga ndio waliwao. Nalia kwa Nchi yangu ya watu wazuri na wema lakini rahisi kudanganywa kupitia dini bila ya kudadisi. Hiko kazi kweli.
Gwajima ataendelea kujivulia kirahisi.
sishangai kwa nn Tanzania na Africa kwa ujumla haziendelei.. ni haya mambo ya ujinga ujinga.. sasa ndo naelewa pia kwa nn vita ya kupinga kuuwawa albino ni kubwa.
Post a Comment