Return za kanisa za kila mwaka ,ni jambo ambalo lingekuwa linafanyika hata afrika ,naona Ulaya na Amerika kila mwaka wanaonyesha hela uliyotoa kanisana na ku file kwa revenue au kwa nyumbani TRA,SHIDA ni mifumo yetu ,hata kama ipo ,haifanyi kazi,tuna safari ndefu sana,ila tutafika miaka 50 Ya uhuru bado,tumejitahidi ,shida utawala wa sheria ndio umeamka kutoka usingizini,,vijana ndio watabadilisha Tanzania yetu na wazee wenye kutaka mabadiliko.
4 comments:
AMA KWELI ANALO MZEE HUYU
AMA KWELI MZEE ANALO
MTOTO AKILILIA WEMBE........
Return za kanisa za kila mwaka ,ni jambo ambalo lingekuwa linafanyika hata afrika ,naona Ulaya na Amerika kila mwaka wanaonyesha hela uliyotoa kanisana na ku file kwa revenue au kwa nyumbani TRA,SHIDA ni mifumo yetu ,hata kama ipo ,haifanyi kazi,tuna safari ndefu sana,ila tutafika miaka 50 Ya uhuru bado,tumejitahidi ,shida utawala wa sheria ndio umeamka kutoka usingizini,,vijana ndio watabadilisha Tanzania yetu na wazee wenye kutaka mabadiliko.
Post a Comment