ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, April 11, 2015

NG'ARI NG'ARI YA OSWALD NA SUSAN BURMINGHAM, ALABAMA LEO JUMAMOSI



Oswald na Susan wakivalisha pete ya ndoa mbele ya mchungaji wa kanisa la St Peter's Catholic Birmingham. AL na baada ya hapo  kulifuatiwa na sherehe ndani ya St Peter's Reception Hall, Oswald na Susan walijumuhika  na ndugu pamoja  marafiki kusheherekea siku hii muhimu katika maisha yao.


Hapa ni mzazi wa Bibi harusi wakiingia kanisani 

Watoto wakiwa kwenye sale maalum wakiingia kanisani hapo

Hawa watoto nao walikuwa kivutio kanisani hapo jinsi walivyokuwa wamependeza, kwa picha zaidi za kanisani hapo jitiririshe hapa chini kwa kuingia soma zaidi.

MC. wa shughuli hii kutoka Washington Bwana Sunday Shomary kushoto akiwa tayari kishafika. MC huyu ni maarufu  sana na alitumiwa Private Jet kuja kuwa MC katika harusi hii.
Mchungaji akiwa yupo tayari kwa shughuli hiyo 

1 comment:

Anonymous said...

wow! very nice. Mmependeza sana. Gauni la bi harusi na suti ya bwa harusi nzuriiiiiiiiiiiiii.
Mungu awabariki