Advertisements

Monday, April 27, 2015

SPIKA WA BUNGE MH. ANNE MAKINDA ZIARANI NCHINI CHINA


 Spika akiwa katika ziara ya maeneo kadhaa ya kiteknolojia katika kampuni ya Huawei.Spika yuko nchini China kwa ziara ya namba ya kulifanya Bunge la Tanzania kuendeshwa kiteknolojia zaidi
 Mtaalam wa kampuni ya Huawei akitoa maelezo ya masuluhisho kadhaa ya Bunge Mtandao (e-parliament solutions) kwa Mhe Spika na ujumbe wake.
 Mhe Spika Anne Makinda akizungumza na Makamu wa Rais wa Kampuni ya  Huawei, Li Dafeng kuhusu mambo kadhaa ya kiteknolojia ya Kibunge ambayo hufanywa na kampuni hiyo duniani.
Spika akimkabidhi Makamu wa Rais wa kampuni ya Huawei,Li Dafeng zawadi ya picha ya kuchora ya jengo la Bunge. Picha zote na Saidi Yakubu wa Ofisi ya Bunge.

No comments: