Advertisements

Saturday, May 16, 2015

DIAMOND PLATNUMZ NA TIMU YAKE YA WCB WATEMBELEA UBALOZI LONDON

Diamond Platnumz akiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Balozi Peter Kalage katika Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza baada ya msanii huyo mwenye jina kubwa Tanzania na Duniani kwa ujumla akiwa na timu yake walipotembelea Ubalozi huo mjini London.

No comments: