Advertisements

Saturday, May 23, 2015

Lemutuz: Aliyevuruga Matokeo ya Jana Tuzo za Watu Yupo Busy Pia Kuvuruga Matokeo ya KTMA, Nitamtaja Laivu


lemutuz_nation 'Well, huwa ninaongea na FACTS with EVIDENCE toka jana Usiku nimesema I smell fish kama nilivyo smell Fishy kwenye matokeo ya Miss Tanzania ya Mwaka jana kuna wajinga akili ndogo walioanza kunirushia matusi LE AKILI KUBWAZZZZ now ninasema jana HAKI HAIKUTENDEKA kuna wanaojaribu kuninyamazisha na matusi...great ninarudia tena sikuenda Shule kuwa mjinga so toka jana niliingia kwenye uchunguzi wa FACTS and EVIDENCE of WHO IS BEHIND LAST NIGHT MESS tayari nimeshaanza kupata theTRUTH....tena the TRUTH ni aliyevuruga jana yupo busy pia kuvuruga Matokeo yaKMTA....soon nitakuwa na "LE TAMKOZZZ FOUR LIVE" and I mean it...stay tuned hahahaha U know makelele yangu toka jana yameleta kizungu zungu behind the scene wameshaanza kuvurugana na kunipigia niache hahahaha..now stay tuned NITAMTAJA ALIYEVURUGA SHOW YA JANA NA FACTS and EVIDENCE....na I HOPE NITASAIDIA KUTOVURUGWA KWA KTMA maana ni huyo huyo gademu mazafantazzz! Na the good thing watayarishaji hawakuhusika kabisa so stay tuned! - le Mutuz

5 comments:

Anonymous said...

le mutuz umeshakuwa mtumzima bwana acha mambo ya kitoto toto bwana au akili haikuwi bado imesinya na kuduma.hivi kweli umekwenda shule umezoma nini wewe,hata kadegree hukajapata niambiye new York shule gani umesoma wewe wakakupa hicho kadegree acha bwana majisifu umekuwa kama mhaya kwa sifa za kitoto toto.

kwa heshma ya mzee wako ulitakiwa uwe unafanya ya maana sasa si haya ya kudandia basi kwa mbele ukadhani umewahi.

acha bwana unawatoto wanakuwa unaadhalilisha bwana acha ujinga bwana.

ushauri wa bure.

lucas please usitupe hii comment unajua this dude somebody needs to sit him down and explain and help him in life.seriously they must be something wrong with him for really.

sijui imeshapata mke.ningekuwa na ukaribu naye ningemshauri vizuri sana kama angekubali. I feel so sorry for him.anawatoto ana jibehave hivi duuuuuuuuuuuu.

Anonymous said...

This guy ni pumbafu kabisa. Kisa matokeo yameenda tofauti na ulivyotegemea basi kuna conspiracy? From the get-go haukuwa happy na reason behind was your blog left out on all categories.Kaza buti braza wa digrii tatu acha kujambia ovyo kwenye hilo domo linalohitaji mint masaa 24.

Anonymous said...

Kazi kweli kweli.

Anonymous said...

Something is seriously wrong with you lemutuz, I'm very disappointed na jinsi ulivyovaa! I doubt your mental stability, who wears those crap clothes kwenye event kama hiyo ? Yaani unapenda sifa za kitoto, pamoja na exposure na hiyo Elimu unayodai unayo is that all you get to offer society? Considering your dress code and your history kweli wewe mtu yeyote wa maana atakualika kwenye shughuli yake ya maana?
No surprise hutapata demu wa maana utaishia kukimbiwa tu maana vitu unavyofanya hata watoto wako they can't do it, you just live in your own world and remember that you're approaching retirement age but still no sign of challenges.
Issue ya diamond kutopewa award why you always want to cause unnecessary commotion? Kwani yeye ni Mungu ashinde kila kitu? How many times hata huku mtoni kwenye American Idol the wrong person wins? Kama watu wa diamond thought atashinda na jukumu la kupiga simu wakali abandon sasa utamlaumu nani? Kumbuka ali kiba kafanya kampeni hadi wale rich gang wamemkampenia wakati diamond yupo busy na show zake.
Kama unadhani kuna conspiracy theories utakuja kuongea then utakaowataja watakushitaki for Defamation na hela yakuwalipa huna. Blog lako limejaa misleading stories, mipasho na Porn pictures nani hata athubuti kuku nominate?
Hakika ulikosa malezi bora ya mama na baba and here you're and evidently you passed on your legacy to your children because you're a resentful guy who lives a 18th century life.

Anonymous said...

acheni zenu bwana kumsakama lemutuz huwa mimi ananiburudisha sana ni kijongo cha mbegu hichi si wale majogo wakizungu boya akifukuzwa hata kukimbia hawezi.nakuaminia baba kaza kuti hivyohivyo wanakupagia unavyo vaa wewe bado unadia kichizi na unapendwa kila kona na mababy moto moto.wenye wivu mjinyonge lemutuz is here to stay forever and ever.mwache ampigiye promo diamond.biashara mujini na yeye yuko kibiashara so whats the big deal.kuleni na kuishina mikukuyenu biboya huku kwenu majuu.kila leo mnazisaka habari za nyumbani yamekushindweni yakwenu huko majuu.mwafyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.