Advertisements

Wednesday, May 27, 2015

MAOMBI YA MCHANGO WA UJENZI WA MSIKITI

Katika Maisha yetu Wanaadamu Ibada ni Jambo Muhimu saana.
Uzuri , Usafi wa sehemu ya kuabudu ni Moja katika mambo mazuri yenye kupendeza katika kila Nafsi ya Binaadamu.

Katika Nyumba (Msikiti)  huu , Ndugu zetu wanafanya Ibada ya Swala 5 kwa siku , Msikiti huu upo Mkoa wa Pwani , Wilaya ya Mkuranga , Kijiji cha Mlamleni Kitongoji cha Kimbangulile.

Wenzetu wameanza kwa Nguvu zao  Ujenzi wa Msikiti kama Mnavyo uona.
Jitihada nyengine wameweza kuwa na Matofali yasiyo pungua 300 kwa Ajili ya kuanza Ujenzi Mpya.

Ukiwa Umeguswa na hili tunaomba kutoka kwako MCHANGO WAKO WA VIFAA VYA UJENZI.

Kwa Mwanzo Tunahitaji
1.Cement
2.Tofali
3.mchanga
4.Vifaa vya Kuchimbia Majembe, Panga , chepe N.k


Maazimio yetu tuanze Ujenzi pale tu tutakapo pata uwezo wa kulifanya hili.

Tunawakaribisha mtembelee eneo la tukio kwa wale ambao Mtakuwa na  Na Muda wa kufanya hivyo.

Michango yenu tunaomba muwasilishe kwa Namba ya Simu.
0715800772( Tigo Pesa ) GHALIB MONERO.

Kwa wale waliopo Nje ya Tanzania : WESTERN UNION : GHALIB NASSOR MONERO

Waliopo KENYA tafadhali wasiliana ALI BAJIY NASOR no' 0725113783 M-PESA.

More Update kuhusu Michango ya Msikiti huu Tafadhali Tutembelee : facebook : Kijana wa Kiislam Dsm or Whatssap Number : +255689604780

Au Piga Simu : +255715800772

Tunawashukuru kwa Michango yenu na Ubalozi wenu Mzuri wa kuitangaza kheri hii .
WABILLAHI TAUFIQ WENU KATIKA UTUMISHI WA DINI KATIKA JAMII.

GHALIB N MONERO.

No comments: