Advertisements

Saturday, May 2, 2015

SHOO YA ZARI ALL WHITE PARTY YAACHA HISTORIA JIJINI DAR

Zari na Diamond wakati wakiingia ukumbini.
Staa wa Bongo Fleva, Diamond akiangalia mimba ya mpenzi wake, Zari the Boss Lady usiku wa Zari All White Party ndani ya Ukumbi wa Mlimani City.
Akipapasa tumbo la mpenzi wake.
Mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo (kulia), akipiga picha na msanii A.K.A kutoka Afrika Kusini.

Diamond Platnumz akimbusu mpenzi wake Zari katika usiku wa Zari All White Party ndani ya Mlimani City.
Diamond, Zari wakiwa katika meza maalumu na baadhi ya marafiki zao.
Zari the Boss Lady (kushoto) akiongea jambo na Madam Rita.
Diamond akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Bia ya Serengeti, Steve Ganon.
Mashabiki wakifuatilia burudani hizo.
Mpiga Picha Mkuu wa Global Publishers, Richard Bukos (kati) akipozi na watangazaji, Sauda Mwilima wa Star TV (kulia) na Khadija Shaibu 'Dida' wa Times FM.
Snura Mushi (kulia), akiwa katika pozi na Dida wa Redio Times FM (kushoto) na Sauda Mwilima wa Star TV (katikati).
Mwigizaji Vincent Kigosi 'Ray' na mlezi wa Klabu ya Bongo Movie, Mama Rolaa wakizungumza jambo.
Baadhi ya mashabiki waliohudhuria katika pati hiyo wakiwa katika pozi.
Mtangazaji wa Clouds TV, Shadee (kulia), akiongea na mmoja wa mashabiki walijitokeza kwenye pati hiyo.
Snura akiwa katika pozi na meneja wake, HK.
Baadhi ya warembo waliyojitokeza kwenye pati hiyo wakiwa katika pozi.
Mtangazaji wa Global TV, Mourad Alfah akizungumza na shabiki.
Mshindi wa Shindano la BBA 2014, Idris Sultan (katikati), akiwanyiwa mahojiano mara baada ya kuwasili kwenye pati hiyo.
Mashabiki wakijiachia.
Diamond akimsifia mpenzi wake mbele ya mashabiki wake.
Nyomi ya kufa mtu ndani ya Ukumbi wa Mlimani City.
Mpenzi wa Diamond Platnumz, Zari akisema na mashabiki waliofurika usiku wa Zari All White Party ndani ya Ukumbi wa Mlimani City.
Diamond akimyanyua mpenzi wake kwenye kiti.
Mashabiki wakishangilia shoo kali iliyoporomoshwa na Diamond (hayupo pichani).
Diamond Platnumz akizikonga nyoyo za mashabiki wake.
Diamond akicheza na madansa wake.
Diamond akizidi kuwapagawisha mashabiki wake.
Malkia wa Taarab Bongo, Khadija Kopa akiimba sambamba na Diamond Wimbo wa Nasema Nawe.
Diamond akiwachengua mashabiki kwa wimbo wake wa Nasema Nawe aliomshirikisha Malkia wa Taarab, Khadija Kopa.

Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Shetta akiwarusha mashabiki waliofika katika Usiku wa Zari All White Party.
Yamoto Band chini ya Prezidaa wao, Dodo Aslay (kulia) wakifanya yao stejini.
Yamoto Band wakifanya yao stejini.
Yamoto Band wakizidi kuzikonga nyoyo za mashabiki.
Wasanii wa Bongo Fleva, Aika, Nahreel na Niki wa Pili wakifanya yao stejini.
Wasanii wa Bongo Fleva, Aika, Nahreel na Niki wa Pili wakifanya yao stejini.
Nyomi ikiwa imedata na shoo kali kutoka kwa Diamond Platinumz.

(PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS, MUSA MATEJA / GPL)

1 comment:

Anonymous said...

NEEMA(NE-YE WA MITEGO)ANANGALIA KWA KUTAMAI INGEKUA YEYE KAPACHIKA MMH.

SASA WATOTO A KIISLAMU MME OWANA AU MNAZAA ZAA TUU KWA VILE MASTAAR NYINYI?