Wadau mbalimbali wakianza kuwasili kwenye bash la harambee na chakula cha jioni ya Jumuiya ya Afrika Mashariki mji wa Albany, New York iliyofanyika siku ya Jumamosi April 20, 1015 na kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo wadau wengine toka majimbo ya jirani. Jumuiya hii ya Africa Mashariki inajumuisha nchi tano Kenya, Tanzani, Uganda, Rwanda na Burundi.
Wadau wa Africa Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja.
Kwa picha zaidi za Cocktail bofya soma zaidi
No comments:
Post a Comment