Advertisements

Tuesday, June 30, 2015

Rais Kikwete akutana na Wapanda Baiskeli Ikulu

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na vijana watano na viongozi wao walioendesha Baiskeli toka Mbeya hadi Dar es Salaam baada ya kukutana nao kuwapongeza ikulu jijini Dar es Salaam leo(picha na Freddy Maro)

No comments: