ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, June 3, 2015

Sentensi kumi za Makongoro Nyerere kuhusu yeye na wanawake, ulevi na kutangaza nia.. (Sauti)



Headlines zenye stori za Siasa zimeendelea kutawala.. Makongoro Nyerere ni Mbunge anaewakilisha TZ kwenye Bunge la Afrika Mashariki, nae alikuwa nyumbani kwao Butiama, hapa nimenukuu sehemu ya kile aichokisema akiwa huko.

Utamsikiliza kwa urefu zaidi kila alichokisema kwenye sauti hii mtu wangu. CREDIT:MILLARDAYO.COM

No comments: