ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, July 21, 2015

UPDATES: MBUNGE WA VITI MAALUM MH. MARIAM SALUM MFAKI AMEFARIKI DUNIA LEO

Mbunge wa viti Maalum Mkoa wa Dodoma kwa tiketi ya CCM, Mariam Salum Mfaki enzi ya uhai wake.

Mbunge wa Viti maalum CCM kwa Mkoa wa Dodoma Mhe. Mariam Salum Mfaki , Amefariki Dunia Mchana wa leo tarehe 21/07/2015. Hadi mauti yanamkuta alikuwa amelazwa katika Hospital ya Mkoa Dodoma (General Hospital)
Kwa mujibu wa mtoto wa marehemu Muhammed Mfaki amesema mama yake alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa saratani tangu mwaka 2012.
endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi

No comments: