Advertisements

Sunday, July 5, 2015

WAFANYAKAZI WA OFISI YA TAKWIMU WAJINYAKULIA MILIONI 3 KAMA MOTISHA YA UTUMISHI ULIOTUKUKA

  Ofisi ya taifa ya takwimu imetoa zawadi ya pesa kiasi cha milioni 3 kwa kila mmoja wa wafanyakazi wake wake waliofanya vizuri kazini kwa mwaka 2014/15 (PICHA NA JOHN BANDA)

No comments: