Advertisements

Sunday, August 30, 2015

SIMBA YAFUNGWA KWA MBIINDE NA YANGA DMV YAKUBALI YACHAPWA 5-2

Watanzania na marafiki zao wakijumuika kwenye nyama choma kabla ya mechi ya Simba na Yanga iliyochezewa Hyattsville, MD siku ya Jumamosi Aug 29, 2015 na Simba kukubali kipigo cha boa 5-2 na kuendelea kuwa wateja Yanga DMV. Timu hizi uundwa na mashabiki wa Simba na Yanga wanaoishi DMV.
Nyama choma ikiendelea
Timu ya Simba DMV
Timu ya Yanga DMV

2 comments:

Unknown said...

5-2 kwa mbinde? Sasa goli 5 kuna mbinde hapo

Unknown said...

5-2 kwa mbinde? Sasa goli 5 kuna mbinde hapo