Watanzania na marafiki zao wakijumuika kwenye nyama choma kabla ya mechi ya Simba na Yanga iliyochezewa Hyattsville, MD siku ya Jumamosi Aug 29, 2015 na Simba kukubali kipigo cha boa 5-2 na kuendelea kuwa wateja Yanga DMV. Timu hizi uundwa na mashabiki wa Simba na Yanga wanaoishi DMV.
Nyama choma ikiendelea
Timu ya Simba DMV
Timu ya Yanga DMV
2 comments:
5-2 kwa mbinde? Sasa goli 5 kuna mbinde hapo
5-2 kwa mbinde? Sasa goli 5 kuna mbinde hapo
Post a Comment