MWENYEKITI WA CHADEMA MBOWE AMJIBU DR SLAA,SIKILIZA HAPA ALICHOMJIBU
Katika video hii Mwenyekiti wa CHADEMA taifa Freeman Mbowe amemjia juu Dr. Slaa huku akisema chama hicho hakito yumba kwani ni mali ya wananchi.
8 comments:
Anonymous
said...
mbowe bora unyamaze, siasa huwezi. unasema chama ni cha wananchi mbona umekiuza kwa fisadi. au huoni upuuzi uliwafanyia watanzania hususani wanachama wa chadema. njaa na vihela vitakuua ndugu. kuna maisha baada ya uchaguzi sijui utaweka wapi sura yako kwa watanzania sababu ya tamaa zako binafsi umeua upinzani!!!!!
Anaepaswa kumjibu Dr. Slaa ni Lowasa.Nyie wengine sijui akina Lisu,Mbowe,Mbatia,Ngwajima inabidi mkae pembeni, tunataka mshutumiwa mkuu ajibu shutuma zake..
8 comments:
mbowe bora unyamaze, siasa huwezi. unasema chama ni cha wananchi mbona umekiuza kwa fisadi. au huoni upuuzi uliwafanyia watanzania hususani wanachama wa chadema. njaa na vihela vitakuua ndugu. kuna maisha baada ya uchaguzi sijui utaweka wapi sura yako kwa watanzania sababu ya tamaa zako binafsi umeua upinzani!!!!!
Unacomment upuuzi halafu unadai mbowe mpuuzi you need to understand the subject.!!
Fisadi ni baba yako wewe,usiongee pumba
Anaepaswa kumjibu Dr. Slaa ni Lowasa.Nyie wengine sijui akina Lisu,Mbowe,Mbatia,Ngwajima inabidi mkae pembeni, tunataka mshutumiwa mkuu ajibu shutuma zake..
huyu mpiga madisco nae hana mpya ndo maana akauza urais kwa lowasa. my free advise to him he would rather keep his mouth shut!
CCM mmeshikwa pabaya mwezi tu vumilia. Slaa siyo size ya Lowasa ndiyo maana UKAWA ulimpiga chini. Mbowe hajamjibu ameweka ufafanuzi chama ni nini.
Awe fisadi asiwe fisadi. Ndio tunaemtaka.
Akili matope
Post a Comment