ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, September 16, 2015

Rais Kikwete azindua Barabara ya kidahwe Uvinza

Rais Dkt.Jakaya Kikwete akisalimiana na baadhi ya wasanii wa ZeComedy Original wakatia lipokutana nao akiwa njiani kuelekea katika 
uzinduzi wa daraja la Malagarasi mkoani kigoma jana.Wasanii hao 
walikuwa wanawelekea Mkoani kigoma kujshiri katika kampeni za mgombea 
urais kwa tiketi ya CCM Mh.John Pombe Magufuli,(picha na Freddy Maro)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Mwakilishi kutoka katika umoja wa Falme za kiarabu balozi Ibrahim Al Suweidy wakifunua kitambaa katika jiwe la msingi wakati wa ufunguzi wa barabara ya kilometa 76.6 kutoka Kidahwe-Uvinza kuelekea Daraja la Malagarasi mkoani Kigoma jana

No comments: