
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Jakaya Kikwete akipeana mikono na Balozi wa Korea Kusini Mhe. Chung II, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Luteni Kanali
Mstaafu Issa Machibya na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Joseph
Nyamhanga mara baada ya ufunguzi wa Daraja la Kikwete katika Mto Malagarasi.

Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Jakaya Kikwete akiwa pamoja na
mkewe Mama Salma Kikwete katika picha ya pamoja na ujumbe wa Korea Kusini
uliojenga Daraja la Kikwete katika Mto Malagarasi mara baada ya kulifungua
rasmi Daraja hilo lenye urefu wa mita 275 na barabara unganishi zenye urefu wa
Km. 48.
Muonekano
wa Daraja la Kikwete katika Mto Malagarasi lenye uwezo wa kubeba tani 180 na
kudumu kwa miaka 100 kama likilindwa na kupitisha mizigo isiyozidi uzito.

2 comments:
KWA JINSI TUNAVYOENDELEA TUSIJE SHANGAA HUKO MBELENI KUPAPATA KIONGOZI TAAHIRA MWINGINE MWENYE EGO AMBAYE ATABADILISHA JINA LA NCHI AU MLIMA KILIMANJARO KUWA MAJINA YAKE.
Kila ukifikia wakati wa uchaguzi ndo wakati kufungua kila
Tumechoka na hadaa hizi
Kwani rais sasa hana kazi in kufungua tu
Majumba, barabara na kuaga
CCM
Poleni
Post a Comment