Advertisements

Monday, September 28, 2015

USALAMA BARABARANI POPOTE UENDAKO NI MUHIMU ZINGATIA SHERIA ZAKE


  Vijana wanao saidia kuokota mipira katika uwanja wa taifa wakati wa mechi mbalimbali za Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara zikichezwa, wakiwa wamebeba mabango  yenye ujumbe maalum unaohusu  kuhamasisha  Usalama barabarani  na kutoa elimu kwa wapenzi wa mpira wa miguu na wachezaji,wakati wa mpambano wa ligi hiyo juzi iliyowakutanisha watani wa jadi Simba na Yanga katika uwanja wa Taifa ambapo  Yanga waliibuka na ushindi wa mabao 2-0.
 Mshambuliaji wa timu ya Simba,Hassan Mgosi akijaribu kumtoka kiungo wa timu ya Yanga Harouna  Niyonzima wakati wa mechi  ya Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara iliyochezwa kati ya timu hizo mwishoni mwa wiki katika uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam,Ambapo  Yanga waliibuka na ushindi wa mabao 2-0 

No comments: