Wagombea wa CUF jimbo la Malindi wakiwa katika Meza kuu wakati wa uzinduzi wa Kampeni za kuwania jimbo hili.
Wafuasi na wapenzi wa CUF waliohudhuria mkutano wa kampeni kwa jimbo la Malindi Mfenesi Mazizi
Wafuasi na wapenzi wa CUF waliohudhuria mkutano wa kampeni kwa jimbo la Malindi Mfenesi Mazizi
Hatimaye leo CUF Jimbo la Malindi imezindua kampeni huko Mfenesi Mazizi kwa kishindo kikubwa.
Walioshiriki uzinduzi huo ni Ally Saleh na Nassor Amin Said na Amina Uwesu






No comments:
Post a Comment