Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ,(Chadema) taifa ,Freeman Mbowe akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Mashujaa Mjini Moshi.
|
Maelefu ya wananchi waliojitokeza katika mkutano wa kampeni wa mgombea Urais kutia Chadema kwa mwavuli wa vyama vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi UKAWA,wakionesha ishara ya mabadiliko. |
Mwenyekiti Mwenza wa vyama vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi UKAWA,James Mbatia akiwa amemnyanyua mkono na kumuombea kura mgombea Ubunge katika jimbo la Moshi mjini ,Jafary Michael |
6 comments:
hiyo ndiyo UKAWA bwana.
Basi kama mtu unampiganaji wako sasa ukianza kumuona anadifendi baada ya kushamblia ujuwe utapoteza tu mpambano. Magufuli alikuwepo Arusha baada ya kuondoka tu lowasa kaenda kudifendi baada ya kuuza sera zake. Vilevile magufuli alikuwepo karatu na Kilimanjaro baada ya kuondoka tu lowasa karudi kudifendi hakuna anachokifanya isipokuwa poor defending sasa kwanini CCM isishinde kirahisi, alafu wanakuja kalalamika wamefungwa goli la mkono? Kwa sababu CCM hawataacha mashambulizi mpaka dakika za nyongeza, CCM wanawashambuliaji wengi kukaa kusubiri mashambulizi ya magufuli huku wakati ukipotea bila ya kuweka tafakari ya washambuliaji wake wa pembeni watakuwa wanazunguka around the clock kwa kweli timu ya ushindi si ile inayosubiri kudifendi muda wote.
Wewe mchangiaji namba mbili hapo juu usibwabwaje kama mtu ambaye hajaenda shule. Ratiba ya mikutano ya kampeni ilipitsihwa na kutangazwa na Tume ya Uchaguzi tangu mwanzo wa kampeni, hakuna mtu anajiendea tu kwa ratiba yake au kwa hulka zake kama unavyodhania. Ndiyo maana Mkapa anawita Watanzania Malofa na bado wanashangilia na kuimba nyimbo za CCM. Ukiona wazee kama Kingunge ambaye amekuwemo ndani ya chungu kwa zaidi ya miaka 60 anakimbia basi ujuwe huko ndani kuna moto mkali. Subirini mtaona baada ya Oktoba 25,Tanzania will not be the same again!!
Wewe Anonymous wa 6:22 AM. Umebakisha 2 weeks mtaji wako wa buku zako saba kumalizika. Kambaree wewe
Umekosa cha kusema. Ati kudifendi!! shule ulifikia wapi? Okay elimu hewa ya ccm. Pole sana Lowasa ndiye Rais
Mnakaribishwa Ikulu baada ya kupiga kura hapo tarehe 25/10/2015 kwenda kuhudhulia sherehe ya kuapishwa Magufuli kama rais wa tano wa Jamhuri wa Muungano.
Post a Comment