Siku ya Ijumaa ya Tarehe 27/11 Jumuiya ya WaTanzania waishio katika Jiji la Houston , Texas ilifanya Party ya kukata na shoka ya Thanksgiving iliyohudhuriwa na wageni mbalimbali kutoka States zote za Marekani. Pata picha za tukio hilo kutoka kwa kamera ya (Mlongokihomablog)
Atlanta Connection in HTown
Drew Sanga 404
No comments:
Post a Comment