Friday, December 25, 2015

Kampuni ya Tigo yatoa Misaada kituo cha kulelea Watoto Yatima cha Mugeza Mseto Manispaa ya Bukoba

Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Ziwa, Ali Maswanya akikabidhi misaada mbalimbali Mwenyekiti wa kamati ya shule ya kulelea watoto Yatima cha Mugeza Mseto Manispaa ya Bukoba Bi. Evelyne Mwijage juzi. Kampuni ya Tigo ilitoa misaada kwenye kituo hicho 
Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Ziwa, Ali Maswanya akikabidhi misaada mbalimbali Mwenyekiti wa kamati ya shule ya kulelea watoto Yatima cha Mugeza Mseto Manispaa ya Bukoba Bi. Evelyne Mwijage juzi. Kampuni ya Tigo ilitoa misaada kwenye kituo hicho 
Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Ziwa, Ali Maswanya akiongea na wanahabari,viongozi na watoto wa kituo cha kulelea watoto Yatima cha Mugeza Mseto Manispaa ya Bukoba. 
Meneja wa Mauzo Mkoa wa Kagera, Sadoki Phares akiongea na wanahabari, viongozi na watoto wa kituo cha kulelea watoto Yatima cha Mugeza Mseto Manispaa ya Bukoba. 
Meneja wa Huduma kwa Wateja wa Tigo Kanda ya Ziwa, Beatrice Kinabo(kushoto) na Meneja wa Duka la Tigo Bukuba, Lilian Mwise (aliyebeba mtoto).
Watoto wa Kituo cha kulelea watoto cha Mugeza Mseto Manispaa ya Bukoba wakifuatilia kwa makini. 
Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Ziwa, Ali Maswanya akitembea na watoto wa kituo cha Mugeza mara baada ya kukabidhi misaada.A 
Watoto wa Kituo cha kulelea watoto cha Mugeza Mseto Manispaa ya Bukoba wakifuatilia kwa makini.

No comments: