ANGALIA LIVE NEWS

Monday, December 14, 2015

Misa ya Kumbukumbu ya Bibi Catherine Sarmanis - Baltimore, Maryland (USA)

Familia ya Richard na Melisa inapenda kuwashukuru wale wote walioshiriki kwa njia moja au nyingine katika kwenye misa ya kumbukumbu ya Bibi Catherine Sarmanis aliyeaga dunia tarehe 22 November nchini Tanzania. Misa hiyo ilifanyika jana tarehe 13 December kwenye kanisa la St. Edward's Rectory mjini Baltimore, MD. 
Richard and Melisa

 Father Honest Munishi akitoa mahubiri
                  Bwana Richard Mawenya akisoma wasifu wa marehemu 
Wajukuu wa marehemu bibi Catherine wakiwa kwenye picha ya pamoja,Kutoka kushoto Natasha, Melisa na Catherine
 Bwana Duncan Kuffar katibu wa Jumuhiya ya Catoliki DMV akitoa shukurani kwa ndugu jamaa na marafiki waliyo hudhuria misa hiyo
wakina mama wakiwa tayari kugawa chakula cha jioni baada ya misa ya marehemu bibi Catherine
 Bi Faith Isingo na Bwana Leslie Kombe wakisoma neno wakati wa misa

No comments: