Saturday, December 26, 2015

NGOMA AFRICA BAND INAWATAKIA HERI YA SIKUU YA MAWLID NA HERI YA KRISMASI

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya The Ngoma Africa Band aka FFU-ughaibuni inayoongozwa na Kamanda Ras Makunja yenye maskani nchini ujerumani
inawatakieni kila la heri katika siku kuu ya Maulid el Nabii Muhammad(S.W.A) pia Heri ya siku kuu ya Krismasi kwa wadau wote iwena amani,upendo,furaha na mshikamano bila kusahau kupata muziki at www.ngoma-africa.com auwww.reverbnation.com/ngomaafricaband


No comments: