Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya The Ngoma Africa Band aka FFU-ughaibuni inayoongozwa na Kamanda Ras Makunja yenye maskani nchini ujerumani
inawatakieni kila la heri katika siku kuu ya Maulid el Nabii Muhammad(S.W.A) pia Heri ya siku kuu ya Krismasi kwa wadau wote iwena amani,upendo,furaha na mshikamano bila kusahau kupata muziki at www.ngoma-africa.com auwww.reverbnation.com/ngomaafricaband
jumuika nao at www.facebook.com/ngomaafricaband
No comments:
Post a Comment