ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, December 24, 2015

SHIRIKA LISILO LA KISERIKALI LA GOZA LATOA MKONO WA KRISMAS NA MWAKA MPYA KWA WAZEE WA KIJIJI CHA WELEZO ZANZIBAR

Mwenyekiti wa Shirika lisilo la kiserikali la GOZA na Meneja Mradi Mussa Khamis Baucha , wakimkabidhi  msaada Mwakilishi wa Wazee wa Kijiji cha Welezo Zanzibar  Mzee Kombo Shein, vyakula kwa ajili ya wazee hao ili kuweza kujimuika na Wananchi katika kusherehekea Sikukuu ya Krismax  na mwaka mpya  kulia Msimamizi wa Kijiji hicho Sister Mary Gemma na Hassan Khamis hafla hiyo imefanyika katika makaazi ya wazee hao welezo jana
Mwenyekiti wa Shirika lisilo la kiserikali la GOZA na Meneja Mradi Mussa Khamis Baucha , wakimkabidhi  msaada Mwakilishi wa Wazee wa Kijiji cha Welezo Zanzibar  Mzee Kombo Shein, vyakula kwa ajili ya wazee hao ili kuweza kujimuika na Wananchi katika kusherehekea Sikukuu ya Krismax  na mwaka mpya  kulia Msimamizi wa Kijiji hicho Sister Mary Gemma hafla hiyo imefanyika katika makaazi ya wazee hao welezo jana.
Mwakilishi wa Wazee Welezo Mzee Shein, akimshukuru Mwenyekiti wa Shirika lisilo la kiserikali la GOZA, kwa msaada wao na kumtaka kuwa Balozi wao huko Nje kuwawakilishi ili kuweza kupata misaada zaidi hasa gari kwa ajili ya kutembelea sehemu mbalimbali wakati wa sikukuu na kutumika kwa shughuli zao za kawaidi.
Mzee Shein akizungumza wakati wa hafla hiyo ya kukabidhiwa Vyakula kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Krismax na Mwaka Mpya 
  

Sister Mary Gemma akitowa shukrani kwa Shirika lisilo la kiserikali la GOZA kwa msaada wao kwa kuwajali Wazee hasa kwa wakati huu wa kusherehekea Sikukuu ya Krismax na Mwaka Mpya. 

No comments: