ANGALIA LIVE NEWS

Monday, December 14, 2015

Wazanzibar wa Sweden Waandamana

  
Taswira za Maandamano ya waZanzibar Diasporan waTanzania pamoja na wapenda amani na Demokrasia kote ulimwenguni. leo Jumatatu Dec 14, wameandamana huko Stockholm Sweden kwenye Parlament (Riksdag) kutaka Bunge na Serikali ya nchi hiyo kuibana Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili iheshimu maamuzi ya wananchi wa Zanzibar waliyoyafanya kupitia Uchaguzi Mkuu wa tarehe 25 Oktoba, 2015.

  
  
Attachments area Preview YouTube video Wazanzibar wa Sweden Waandamana Wazanzibar wa Sweden Waandamana

No comments: