Advertisements

Friday, January 1, 2016

MISS TANZANIA USA AHUDHURIA MKESHA WA MWAKA MPYA DMV

Miss Tanzania USA Aeesha Kamara akipata picha ya upendeleo alipofika kwenye mkesha wa mwka mpya ulioandaliwa na Jumuiya ya Watanzania DMV siku ya Alhamisi Desemba 31, 2016 Lanham, Maryalnd nchini Marekani.
Asha Hariz Kushoto) pamoja na mama wa mitindo Asya Idarous Khamsini wakipata picha ya pamoja na Miss Tanzania USA Pageant alipohudhuria mkesha wa mwaka mpya DMV.
 Aeesha Kamara katika picha ya pamoja na msanii Patience Ibembo wa Congo mwenye makzi yake Marekani kwa sasa ambaye zamani alikuamcheza show wa Koffi Olomide.
Kutoka kushoto ni Patience Ibembo, Aeesha Kamara, Mama Winny Casey Mratibu wa Miss Tanzania USA na Rukia Malipula ambaye ni mama mzazi wa Aeesha Kamara.
Aeesha Kamara akitangaza kalenda ya 2016 iliyotengenezwa na Miss Africa USA na pichga yake kutumika kwenye kalenda hiyo baada ya kuwashinda mamiss wengine wa Africa shindano lililofanyika New York Novemba 2015.
Kwa picha zaidi bofya soma zaidi.



No comments: