Thursday, January 21, 2016

MKUTANO WA UTARATIBU WA UPANGAJI TAARIFA WAFUNGULIWA JIJINI DAR

Mkurugenzi wa Idara ya Mazingira, Ofisi ya Makamu wa Rais, Dk. Julius Ningu akizungumza na Wajumbe wa Mkutano wa Utaratibu wa Upangaji Taarifa (Clearing House Mechanism) kuhusu Viumbe Hai, wakati wa ufunguzi wa Mkutano huo uliofanyika katika Ukumbi wa Taasisi ya Utafiti wa Dawa (NIMR), jijini Dar es salaam leo. (Picha na OMR).
Sehemu ya Washiriki wa Mkutano wa Utaratibu wa Upangaji Taarifa (Clearing House Mechanism) kuhusu Viumbe Hai, wakimsikiliza kwa makini mtoa mada wa Mkutano huo, Bwana Maskati Maliwanga (hayupo pichani).


Washiriki katika Mkutano wa Utratibu Upangaji Taarifa (Clearing House Mechanism) kuhusu Viumbe Hai wakiwa katika picha ya pamoja.

No comments: