Mkurugenzi wa Idara ya Mazingira, Ofisi ya Makamu wa Rais, Dk. Julius Ningu akizungumza na
Wajumbe wa Mkutano wa Utaratibu wa Upangaji Taarifa (Clearing House Mechanism) kuhusu
Viumbe Hai, wakati wa ufunguzi wa Mkutano huo uliofanyika katika Ukumbi wa Taasisi ya
Utafiti wa Dawa (NIMR), jijini Dar es salaam leo. (Picha na OMR).
Sehemu ya Washiriki wa Mkutano wa Utaratibu wa Upangaji Taarifa (Clearing House
Mechanism) kuhusu Viumbe Hai, wakimsikiliza kwa makini mtoa mada wa Mkutano huo,
Bwana Maskati Maliwanga (hayupo pichani).
Washiriki katika Mkutano wa Utratibu Upangaji Taarifa (Clearing House Mechanism) kuhusu
Viumbe Hai wakiwa katika picha ya pamoja.
No comments:
Post a Comment