Thursday, January 7, 2016

WAZIRI JANUARY MAKAMBA ATEMBELEWA NA BALOZI WA UINGEREZA

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, (Mazingira na Muungano) Mh. January Makamba (Kushoto) akiongea na Balozi wa Uingereza nchini Bi. Dianna Melrose (katikati) . kulia ni Naibu Balozi wa Uingereza nchini Bw. Matt Sutherlal  walipomtembelea Mh. Waziri leo Ofisini kwake Mtaa wa Luthuli kwa lengo la kufahamiana na kudumisha ushirikiano baina ya Tanzania na Uingereza katika nyanja za Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira. (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini)

1 comment:

Anonymous said...

huyu jamaa kwa foreign delegate kila kukicha nadhani anauota uwaziri wa nje sana, hivyo anatumia hiyo ofisi ya kulala usingizi kuforce issues. anapenda sana ukubwa wa media.