Advertisements

Saturday, February 13, 2016

Balozi Seif akagua maendeleo ya ujenzi wa Hospitali ya Abdalla Mzee, Mkoani

MAKAMO wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, akikagua ujenzi wa Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani unavyoendelea, kushoto ni Afisa Mdhamini Wizara ya Afya Pemba Dk Mkasha Hija Mkasha.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MUONEKANO wa sehemu ya mbele ya jengo la Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani, likiendelea katika ujenzi wake.
MAKAMO wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, akipata maelezo ya Ramani ya Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani, itakapokamilika kutoka kwa mkalimani wa mafundi wa ujenzi wa hospitali hiyo Zhung Dou, wakati alipofanya ziara ya kuangalia maendeleo ya ujenzi wa hospitali hiyo unavyoendelea.

1 comment:

Anonymous said...

leo ndo nimethibitisha huyu seif ally iddi si mzanzibari duu amakweli.mmmh