Familia ya Bwana Galus Bohella na Bibi Trezia Mwakyoma-Bohella wanawakaribisha kujumuika nao katika Misa ya Kumbukumbu ya Baba mzazi wa Trezia (Teddy) Mzee Lazaros Mwakyagi Mwasubila
aliyefariki tarehe 21 Januari, 2016 huko Mbeya, Tanzania.
Misa itafanyika
Jumamosi March 5, 2016 kuanzia saa tisa mchana (3 pm)
katika kanisa la
Saint Stephen Lutheran Church
New Hampshire Avenue 11612
Silver spring, MD 20904.
Kwa habari zaidi, wasiliana na
Mr. Galus Bohella - (240)492-8840
KARIBUNI WOTE
No comments:
Post a Comment